Skip to content
Ufunuo 6:13-14

Ufunuo 6:13-14

13
Nyota zilizo angani zikaanguka ardhini kama vile matunda ya mtini yasiyokomaa yaangukavyo wakati mti wake unapotikiswa na upepo mkali.
14
Anga ikatoweka kama vile karatasi isokotwavyo, na kila mlima na kila kisiwa kikaondolewa mahali pake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options