Skip to content
Ufunuo 4:2-3

Ufunuo 4:2-3

2
Ghafula nilikuwa katika Roho, na hapo mbele yangu kilikuwepo kiti cha enzi mbinguni, kikiwa kimekaliwa na mtu.
3
Aliyekuwa amekikalia alikuwa anaonekana kama yaspi na akiki. Kukizunguka kile kiti cha enzi palikuwa na upinde wa mvua ulioonekana kama zumaridi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options