Skip to content
Ufunuo 3:2-3

Ufunuo 3:2-3

2
Amka! Nawe uyaimarishe yale yaliyosalia na yaliyo karibu kufa, kwa maana sikuona kwamba kazi zako zimekamilika machoni pa Mungu wangu.
3
Kumbuka basi yale uliyoyapokea na kuyasikia, yatii na ukatubu. Lakini usipoamka, nitakuja kama mwizi wala hutajua saa nitakayokuja kwako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options