Rukia maudhui
Ufunuo 22:11-12

Ufunuo 22:11-12

11
Atendaye mabaya na aendelee kutenda mabaya, aliye mchafu na aendelee kuwa mchafu, yeye atendaye haki na aendelee kutenda haki, na yeye aliye mtakatifu na aendelee kuwa mtakatifu.”
12
“Tazama, naja upesi! Thawabu yangu i mkononi mwangu, nami nitampa kila mtu sawasawa na alivyotenda.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options