Skip to content
Ufunuo 21:22-23

Ufunuo 21:22-23

22
Sikuona Hekalu ndani ya huo mji kwa sababu Bwana Mungu Mwenyezi na Mwana-Kondoo ndio hekalu lake.
23
Ule mji hauhitaji jua wala mwezi kuuangazia, kwa sababu utukufu wa Mungu ndio nuru yake na Mwana-Kondoo ndiye taa yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options