Naar de inhoud
Ufunuo 20:14-15

Ufunuo 20:14-15

14
Kisha mauti na Kuzimu zikatupwa katika ziwa la moto. Hii ndio mauti ya pili, yaani, hilo ziwa la moto.
15
Iwapo mtu jina lake halikuonekana katika kile kitabu cha uzima, alitupwa ndani ya lile ziwa la moto.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options