Skip to content
Ufunuo 17:12-13

Ufunuo 17:12-13

12
“Zile pembe kumi ulizoziona ni wafalme kumi ambao bado hawajapokea ufalme, lakini watapokea mamlaka kuwa wafalme kwa saa moja pamoja na yule mnyama.
13
Hawa wana nia moja, nao watamwachia yule mnyama nguvu zao na mamlaka yao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options