Skip to content
Zaburi 99:6-8

Zaburi 99:6-8

6
Mose na Aroni walikuwa miongoni mwa makuhani wake, Samweli alikuwa miongoni mwa walioliitia jina lake; walimwita Bwana, naye aliwajibu.
7
Alizungumza nao kutoka nguzo ya wingu; walizishika sheria zake na amri alizowapa.
8
Ee Bwana, wetu, ndiwe uliyewajibu, kwa Israeli ulikuwa Mungu mwenye kusamehe, ingawa uliadhibu matendo yao mabaya.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options