Skip to content
Zaburi 100:1-3

Zaburi 100:1-3

1
Zaburi ya shukrani. Mpigieni Bwana kelele za shangwe, dunia yote.
2
Mwabuduni Bwana kwa furaha; njooni mbele zake kwa nyimbo za shangwe.
3
Jueni kwamba Bwana ndiye Mungu. Yeye ndiye alituumba, sisi tu mali yake; sisi tu watu wake, kondoo wa malisho yake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options