Skip to content
Zaburi 99:1-2

Zaburi 99:1-2

1
Bwana anatawala, mataifa na yatetemeke; anakalia kiti cha enzi katikati ya makerubi, dunia na itikisike.
2
Bwana ni mkuu katika Sayuni; ametukuzwa juu ya mataifa yote.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options