Zaburi 97:2-5
2
Mawingu na giza nene vinamzunguka, haki na hukumu ndio msingi wa kiti chake cha enzi.
3
Moto hutangulia mbele zake na huteketeza adui zake pande zote.
4
Umeme wake wa radi humulika dunia, nchi huona na kutetemeka.
5
Milima huyeyuka kama nta mbele za Bwana, mbele za Bwana wa dunia yote.