10
Wale wanaompenda Bwana na wauchukie uovu, kwa maana yeye hulinda maisha ya waaminifu wake na kuwaokoa kutoka mkononi mwa mwovu.
11
Nuru huangaza wenye haki na furaha kwa watu wanyofu wa moyo.
12
Furahini katika Bwana, ninyi mlio wenye haki, lisifuni jina lake takatifu.