Skip to content
Zaburi 96:9-10

Zaburi 96:9-10

9
Mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake; dunia yote na itetemeke mbele zake.
10
Katikati ya mataifa semeni, “Bwana anatawala.” Ulimwengu ameuweka imara, hauwezi kusogezwa; atawahukumu watu kwa uadilifu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options