Skip to content
Zaburi 96:7-9

Zaburi 96:7-9

7
Mpeni Bwana, enyi jamaa za mataifa, mpeni Bwana utukufu na nguvu.
8
Mpeni Bwana utukufu unaostahili jina lake; leteni sadaka na mje katika nyua zake.
9
Mwabuduni Bwana katika uzuri wa utakatifu wake; dunia yote na itetemeke mbele zake.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options