4
Kwa kuwa Bwana ni mkuu mwenye kustahili kusifiwa kuliko wote; yeye ni wa kuogopwa kuliko miungu yote.
5
Kwa maana miungu yote ya mataifa ni sanamu, lakini Bwana aliziumba mbingu.
6
Fahari na enzi viko mbele yake; nguvu na utukufu vimo patakatifu pake.