Skip to content
Zaburi 94:7-9

Zaburi 94:7-9

7
Nao husema, “Bwana haoni, Mungu wa Yakobo hafahamu.”
8
Sikizeni, enyi wajinga miongoni mwa watu; enyi wapumbavu, lini mtakuwa na hekima?
9
Je, aliyeweka sikio asisikie? Aliyeumba jicho asione?
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options