Skip to content
Zaburi 94:4-7

Zaburi 94:4-7

4
Wanamimina maneno ya kiburi, watenda mabaya wote wamejaa majivuno.
5
Ee Bwana, wanawaponda watu wako, wanawaonea urithi wako.
6
Wanamchinja mjane na mgeni, na kuwaua yatima.
7
Nao husema, “Bwana haoni, Mungu wa Yakobo hafahamu.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options