Skip to content
Zaburi 94:17-19

Zaburi 94:17-19

17
Kama Bwana asingelinisaidia upesi, ningelikuwa ninaishi katika ukimya wa kifo.
18
Niliposema, “Mguu wangu unateleza,” Ee Bwana, upendo wako ulinishikilia.
19
Wakati wasiwasi ulipokuwa mwingi ndani yangu, faraja yako ilinipa furaha nafsini mwangu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options