Skip to content
Zaburi 93:1-2

Zaburi 93:1-2

1
Bwana anatawala, amejivika utukufu; Bwana amejivika utukufu tena amejivika nguvu. Dunia imewekwa imara, haitaondoshwa.
2
Kiti chako cha enzi kimekuwa thabiti tangu zamani; wewe umekuwako tangu milele.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options