Skip to content
Zaburi 92:12-14

Zaburi 92:12-14

12
Wenye haki watastawi kama mtende, watakuwa kama mwerezi wa Lebanoni,
13
waliopandwa katika nyumba ya Bwana, watastawi katika nyua za Mungu wetu.
14
Wakati wa uzee watakuwa bado wanazaa matunda, watakuwa wabichi tena wamejaa nguvu,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options