Zaburi 91:7-10
7
Ijapo watu elfu wataangukia kando yako, kumi elfu mkono wako wa kuume, lakini haitakukaribia wewe.
8
Utatazama tu kwa macho yako na kuona adhabu ya waovu.
9
Kama ukimfanya Aliye Juu Sana kuwa makao yako: naam, Bwana ambaye ni kimbilio langu,
10
basi hakuna madhara yatakayokupata wewe, hakuna maafa yataikaribia hema yako.
Settings