Skip to content
Zaburi 91:7-10

Zaburi 91:7-10

7
Ijapo watu elfu wataangukia kando yako, kumi elfu mkono wako wa kuume, lakini haitakukaribia wewe.
8
Utatazama tu kwa macho yako na kuona adhabu ya waovu.
9
Kama ukimfanya Aliye Juu Sana kuwa makao yako: naam, Bwana ambaye ni kimbilio langu,
10
basi hakuna madhara yatakayokupata wewe, hakuna maafa yataikaribia hema yako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options