Skip to content
Zaburi 91:14-15

Zaburi 91:14-15

14
Bwana asema, “Kwa kuwa ananipenda, nitamwokoa; nitamlinda, kwa kuwa analikiri Jina langu.
15
Ataniita, nami nitamjibu; nitakuwa pamoja naye katika taabu, nitamwokoa na kumheshimu.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options