Skip to content
Zaburi 89:38-39

Zaburi 89:38-39

38
Lakini wewe umemkataa, umemdharau, umemkasirikia sana mpakwa mafuta wako.
39
Umelikana agano lako na mtumishi wako, na umeinajisi taji yake mavumbini.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options