Skip to content
Zaburi 89:38-39

Zaburi 89:38-39

38
Lakini wewe umemkataa, umemdharau, umemkasirikia sana mpakwa mafuta wako.
39
Umelikana agano lako na mtumishi wako, na umeinajisi taji yake mavumbini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options