Skip to content
Zaburi 89:34-37

Zaburi 89:34-37

34
Mimi sitavunja agano langu wala sitabadili lile ambalo midomo yangu imelitamka.
35
Mara moja na kwa milele, nimeapa kwa utakatifu wangu, nami sitamdanganya Daudi:
36
kwamba uzao wake utaendelea milele, na kiti chake cha enzi kitadumu mbele zangu kama jua;
37
kitaimarishwa milele kama mwezi, shahidi mwaminifu angani.”
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options