Skip to content
Zaburi 89:30-32

Zaburi 89:30-32

30
“Kama wanae wataacha amri yangu na wasifuate sheria zangu,
31
kama wakihalifu maagizo yangu na kutoshika amri zangu,
32
nitaadhibu dhambi yao kwa fimbo, uovu wao kwa kuwapiga,
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options