Zaburi 89:26-28
26
Naye ataniita kwa sauti, ‘Wewe ni Baba yangu, Mungu wangu, Mwamba na Mwokozi wangu.’
27
Nitamteua pia awe mzaliwa wangu wa kwanza, aliyetukuka kuliko wafalme wote wa dunia.
28
Nitadumisha upendo wangu kwake milele, na agano langu naye litakuwa imara.