Skip to content
Zaburi 89:26-27

Zaburi 89:26-27

26
Naye ataniita kwa sauti, ‘Wewe ni Baba yangu, Mungu wangu, Mwamba na Mwokozi wangu.’
27
Nitamteua pia awe mzaliwa wangu wa kwanza, aliyetukuka kuliko wafalme wote wa dunia.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options