Skip to content
Zaburi 89:20-24

Zaburi 89:20-24

20
Nimemwona Daudi, mtumishi wangu, na nimemtia mafuta yangu matakatifu.
21
Kitanga changu kitamtegemeza, hakika mkono wangu utamtia nguvu.
22
Hakuna adui atakayemtoza ushuru, hakuna mtu mwovu atakayemwonea.
23
Nitawaponda adui zake mbele zake na kuwaangamiza watesi wake.
24
Upendo wangu mkamilifu utakuwa pamoja naye, kwa Jina langu pembe yake itatukuzwa.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options