Skip to content
Zaburi 88:7-8

Zaburi 88:7-8

7
Ghadhabu yako imekuwa nzito juu yangu, umenigharikisha kwa mawimbi yako yote.
8
Umenitenga na rafiki zangu wa karibu na kunifanya chukizo kwao. Nimezuiliwa, wala siwezi kutoroka;
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options