Skip to content
Zaburi 88:4-5

Zaburi 88:4-5

4
Nimehesabiwa miongoni mwa wale waendao shimoni, niko kama mtu asiye na nguvu.
5
Nimetengwa pamoja na wafu, kama waliochinjwa walalao kaburini, ambao huwakumbuki tena, ambao wamekatiliwa mbali na uangalizi wako.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options