Skip to content
Zaburi 88:14-18

Zaburi 88:14-18

14
Ee Bwana, kwa nini unanikataa na kunificha uso wako?
15
Tangu ujana wangu nimeteseka, nikakaribia kifo; nimepatwa na hofu zako, nami nimekata tamaa.
16
Ghadhabu yako imepita juu yangu; hofu zako zimeniangamiza.
17
Mchana kutwa zinanizunguka kama mafuriko; zimenimeza kabisa.
18
Umeniondolea marafiki na wapendwa wangu; giza limekuwa ndilo rafiki yangu wa karibu kuliko wote.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options