Skip to content
Zaburi 88:1-3

Zaburi 88:1-3

1
Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi leanothi. Utenzi wa Hemani Mwezrahi. Ee Bwana, Mungu uniokoaye, nimelia mbele zako usiku na mchana.
2
Maombi yangu yafike mbele zako, utegee kilio changu sikio lako.
3
Kwa maana nafsi yangu imejaa taabu, na maisha yangu yanakaribia kaburi.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options