Skip to content
Zaburi 88:1-2

Utangulizi na Mwito

Zaburi 88:1-2
1
Wimbo. Zaburi ya wana wa Kora. Kwa mwimbishaji. Mtindo wa mahalathi leanothi. Utenzi wa Hemani Mwezrahi. Ee Bwana, Mungu uniokoaye, nimelia mbele zako usiku na mchana.
2
Maombi yangu yafike mbele zako, utegee kilio changu sikio lako.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options