Zaburi 87:5-7
5
Kuhusu Sayuni itasemwa hivi, “Huyu na yule walizaliwa humo, naye Aliye Juu Sana mwenyewe atamwimarisha.”
6
Bwana ataandika katika orodha ya mataifa: “Huyu alizaliwa Sayuni.”
7
Watakapokuwa wanapiga vinanda wataimba, “Chemchemi zangu zote ziko kwako.”