Skip to content
Zaburi 86:16-17

Zaburi 86:16-17

16
Nigeukie na unihurumie; mpe mtumishi wako nguvu zako, mwokoe mwana wa mtumishi wako wa kike.
17
Nipe ishara ya wema wako, ili adui zangu waione nao waaibishwe, kwa kuwa wewe, Ee Bwana, umenisaidia na kunifariji.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options