Skip to content
Zaburi 85:8-10

Zaburi 85:8-10

8
Nitasikiliza lile atakalosema Mungu aliye Bwana; anaahidi amani kwa watu wake, watakatifu wake: lakini nao wasirudie upumbavu.
9
Hakika wokovu wake uko karibu na wale wamchao, ili utukufu wake udumu katika nchi yetu.
10
Upendo na uaminifu hukutana pamoja, haki na amani hubusiana.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options