1
Kwa mwimbishaji. Zaburi ya wana wa Kora. Ee Bwana, ulionyesha wema kwa nchi yako. Ulimrejeshea Yakobo baraka zake.
2
Ulisamehe uovu wa watu wako, na kufunika dhambi zao zote.
3
Uliweka kando ghadhabu yako yote na umegeuka na kuiacha hasira yako kali.