Skip to content
Zaburi 84:6-7

Zaburi 84:6-7

6
Wanapopita katika Bonde la Baka, hulifanya mahali pa chemchemi, pia mvua za vuli hulijaza kwa madimbwi.
7
Huendelea toka nguvu hadi nguvu, hadi kila mmoja afikapo mbele za Mungu huko Sayuni.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options