Skip to content
Zaburi 79:2-3

Zaburi 79:2-3

2
Wametoa maiti za watumishi kuwa chakula cha ndege wa angani na nyama ya watakatifu wako kwa wanyama wa nchi.
3
Wamemwaga damu kama maji kuzunguka Yerusalemu yote, wala hakuna yeyote wa kuwazika.
Settings

Reading style

Typeface

Font size 19px

Reading width 90 chars

Options