Zaburi 78:70-72
70
Akamchagua Daudi mtumishi wake na kumtoa kwenye mazizi ya kondoo.
71
Kutoka kuchunga kondoo alimleta kuwa mchungaji wa watu wake Yakobo, wa Israeli urithi wake.
72
Naye Daudi aliwachunga kwa uadilifu wa moyo, kwa mikono ya ustadi aliwaongoza.