Skip to content
Zaburi 78:7-8

Zaburi 78:7-8

7
Ndipo wangeweka tumaini lao kwa Mungu, nao wasingesahau matendo yake, bali wangalizishika amri zake.
8
Ili wasifanane na baba zao, waliokuwa kizazi cha ukaidi na uasi, ambao roho zao hazikuwa na uaminifu kwake, ambao roho zao hazikumwamini.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options