Skip to content
Zaburi 78:68-70

Zaburi 78:68-70

68
lakini alilichagua kabila la Yuda, Mlima Sayuni, ambao aliupenda.
69
Alijenga patakatifu pake kama vilele, kama dunia ambayo aliimarisha milele.
70
Akamchagua Daudi mtumishi wake na kumtoa kwenye mazizi ya kondoo.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options