Skip to content
Zaburi 78:59-60

Zaburi 78:59-60

59
Wakati Mungu alipowasikia, alikasirika sana, akamkataa Israeli kabisa.
60
Akaiacha hema ya Shilo, hema aliyokuwa ameiweka katikati ya wanadamu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options