Zaburi 78:58-61
58
Wakamkasirisha Mungu kwa mahali pao pa juu pa kuabudia miungu, wakachochea wivu wake kwa sanamu zao.
59
Wakati Mungu alipowasikia, alikasirika sana, akamkataa Israeli kabisa.
60
Akaiacha hema ya Shilo, hema aliyokuwa ameiweka katikati ya wanadamu.
61
Akalipeleka Sanduku la nguvu zake utumwani, utukufu wake mikononi mwa adui.
Settings