Zaburi 78:49-51
49
Aliwafungulia hasira yake kali, ghadhabu yake, hasira na uadui, na kundi la malaika wa kuharibu.
50
Aliitengenezea njia hasira yake, hakuwaepusha na kifo, bali aliwaachia tauni.
51
Aliwapiga wazaliwa wote wa kwanza wa Misri, matunda ya kwanza ya ujana katika mahema ya Hamu.