Zaburi 78:34-36
34
Kila mara Mungu alipowaua baadhi yao, waliosalia walimtafuta, walimgeukia tena kwa shauku.
35
Walikumbuka kwamba Mungu alikuwa Mwamba wao, kwamba Mungu Aliye Juu Sana alikuwa Mkombozi wao.
36
Lakini walimdanganya kwa vinywa vyao, wakisema uongo kwa ndimi zao,