Skip to content
Zaburi 78:34-35

Zaburi 78:34-35

34
Kila mara Mungu alipowaua baadhi yao, waliosalia walimtafuta, walimgeukia tena kwa shauku.
35
Walikumbuka kwamba Mungu alikuwa Mwamba wao, kwamba Mungu Aliye Juu Sana alikuwa Mkombozi wao.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options