Skip to content
Zaburi 74:13-14

Zaburi 74:13-14

13
Ni wewe uliyeigawanya bahari kwa uweza wako; ulivunja vichwa vya wanyama wakubwa wa kutisha katika maji.
14
Ni wewe uliyeponda vichwa vya Lewiathani nawe ukamtoa kama chakula kwa viumbe vya jangwani.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options