Skip to content
Zaburi 72:2-4

Zaburi 72:2-4

2
Atawaamua watu wako kwa haki, watu wako walioonewa kwa haki.
3
Milima italeta mafanikio kwa watu, vilima tunda la haki.
4
Atawatetea walioonewa miongoni mwa watu na atawaokoa watoto wa wahitaji, ataponda mdhalimu.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Options