Skip to content
Zaburi 72:12-13

Zaburi 72:12-13

12
Kwa maana atamwokoa mhitaji anayemlilia, aliyeonewa asiye na wa kumsaidia.
13
Atawahurumia wanyonge na wahitaji na kuwaokoa wahitaji kutoka mauti.
Settings

Reading Style

Typeface

Font Size 19px

Reading Width 45 chars

Options